1 Samweli 25:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Na jina la mtu huyo lilikuwa Nabali,+ na jina la mke wake lilikuwa Abigaili.+ Naye mke huyo alikuwa mwenye busara+ njema na mrembo wa umbo, lakini mume alikuwa mkali na mwenye matendo mabaya;+ naye alikuwa Mkalebu.+ 1 Samweli 25:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Abigaili alipomwona Daudi, akafanya haraka mara moja, akashuka kutoka juu ya yule punda, akaanguka kifudifudi mbele ya Daudi, akainama+ chini. 1 Samweli 25:32 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 32 Ndipo Daudi akamwambia Abigaili: “Abarikiwe Yehova Mungu wa Israeli,+ aliyekutuma leo unipokee!
3 Na jina la mtu huyo lilikuwa Nabali,+ na jina la mke wake lilikuwa Abigaili.+ Naye mke huyo alikuwa mwenye busara+ njema na mrembo wa umbo, lakini mume alikuwa mkali na mwenye matendo mabaya;+ naye alikuwa Mkalebu.+
23 Abigaili alipomwona Daudi, akafanya haraka mara moja, akashuka kutoka juu ya yule punda, akaanguka kifudifudi mbele ya Daudi, akainama+ chini.