Zaburi 41:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Yehova Mungu wa Israeli na abarikiwe+Tangu wakati usio na kipimo mpaka wakati usio na kipimo.+Amina na Amina.+ Zaburi 72:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Na abarikiwe Yehova Mungu, Mungu wa Israeli,+Ambaye peke yake anafanya kazi za ajabu.+
13 Yehova Mungu wa Israeli na abarikiwe+Tangu wakati usio na kipimo mpaka wakati usio na kipimo.+Amina na Amina.+