11 Kwa hiyo Israeli baba yao akawaambia: “Ikiwa ni lazima iwe hivyo, basi fanyeni hivi: Bebeni katika mifuko yenu vitu bora zaidi vya nchi yetu mkampelekee mtu huyo zawadi:+ zeri+ kidogo, asali kidogo, labdanamu, magome yenye utomvu,+ kungu, na lozi.