Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 25:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 mafuta ya mwanga,+ mafuta ya zeri+ kwa ajili ya kutia mafuta+ na kwa ajili ya uvumba uliotiwa manukato;+

  • Esta 2:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Zamu ya kila mwanamke kijana ilipofika ya kuingia kwa Mfalme Ahasuero baada ya kufanyiwa kulingana na masharti ya wanawake kwa miezi kumi na miwili, maana hivyo ndivyo hatua kwa hatua siku za utaratibu wao wa kukandwa zilivyotimia, miezi sita kwa mafuta ya manemane+ na miezi sita kwa mafuta ya zeri+ pamoja na kukandwa kwa wanawake;

  • Yeremia 8:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Je, hakuna zeri katika Gileadi?+ Au, je, hakuna mponyaji humo?+ Kwa nini, basi, kupona+ kwa binti ya watu wangu hakujatokea?+

  • Yeremia 46:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 “Panda mpaka Gileadi uchukue zeri,+ Ee bikira, binti ya Misri.+ Umezidisha njia za kuponya bure tu. Hakuna matibabu kwa ajili yako.+

  • Ezekieli 27:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 “ ‘ “Yuda na nchi ya Israeli walikuwa wafanya-biashara wako. Vitu vyako vya biashara vilitolewa+ kwa ajili ya ngano+ ya Minithi+ na vyakula vya pekee na asali+ na mafuta na zeri.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki