Kutoka 30:34 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 34 Naye Yehova akaendelea kumwambia Musa: “Jichukulie manukato:+ matone ya natafi na shekelethi na kelbena iliyotiwa manukato na ubani+ safi. Kutakuwa na kipimo kimoja cha kila moja.
34 Naye Yehova akaendelea kumwambia Musa: “Jichukulie manukato:+ matone ya natafi na shekelethi na kelbena iliyotiwa manukato na ubani+ safi. Kutakuwa na kipimo kimoja cha kila moja.