Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 43:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Kisha Israeli baba yao akawaambia: “Ikiwa, basi, ndivyo ilivyo,+ fanyeni hivi: Chukueni mali bora zaidi ya nchi katika vyombo vyenu mkampelekee mtu huyo iwe zawadi:+ zeri kidogo,+ na asali kidogo,+ ubani mweusi na gome lenye utomvu,+ kungu na lozi.+

  • 1 Wafalme 10:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Mwishowe akafika Yerusalemu pamoja na msafara wenye kuvutia sana,+ ngamia+ wenye kuchukua mafuta ya zeri+ na dhahabu nyingi sana na mawe ya thamani; naye akaingia kwa Sulemani, na malkia huyo akaanza kumwambia yote yaliyokuwa moyoni mwake.+

  • 2 Wafalme 20:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Na Hezekia akawasikiliza na kuwaonyesha nyumba yake yote ya hazina,+ fedha na dhahabu+ na mafuta ya zeri+ na mafuta mazuri na ghala lake la silaha na vyote vilivyokuwa katika hazina zake. Hakuna kitu chochote ambacho Hezekia hakuwaonyesha katika nyumba yake na katika mamlaka yake yote.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki