6 “Ni nini hiki kinachokuja kutoka nyikani kama nguzo za moshi, kikiwa kimetiwa harufu ya manemane na ubani,+ pamoja na kila namna ya poda ya marashi ya mfanya-biashara?”+
37 Na, tazama! mwanamke aliyejulikana jijini kuwa mtenda-dhambi akapata habari kwamba alikuwa ameketi kwenye mlo katika nyumba ya Farisayo, naye akaleta chupa ya alabasta+ iliyo na mafuta yenye marashi,