Wimbo wa Sulemani 3:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 “Ni nini hiki kinachokuja kutoka nyikani kama nguzo za moshi, kikiwa kimetiwa harufu ya manemane na ubani,+ pamoja na kila namna ya poda ya marashi ya mfanya-biashara?”+ Wimbo wa Sulemani 4:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 nardo+ na zafarani,+ kane+ na mdalasini,+ pamoja na namna zote za miti ya ubani, manemane na udi,+ pamoja na manukato yote yaliyo bora zaidi;+
6 “Ni nini hiki kinachokuja kutoka nyikani kama nguzo za moshi, kikiwa kimetiwa harufu ya manemane na ubani,+ pamoja na kila namna ya poda ya marashi ya mfanya-biashara?”+
14 nardo+ na zafarani,+ kane+ na mdalasini,+ pamoja na namna zote za miti ya ubani, manemane na udi,+ pamoja na manukato yote yaliyo bora zaidi;+