23 “Wewe nawe, jichukulie manukato bora zaidi:+ vipimo 500 vya matone ya manemane+ iliyoganda, na mdalasini+ wenye harufu tamu nusu ya kiasi hicho, vipimo 250, na kane+ yenye harufu tamu, vipimo 250,
24 Hukuninunulia kwa pesa yoyote kane tamu;+ wala hukunijaza mimi kwa mafuta ya dhabihu zako.+ Kwa kweli umenilazimisha kutumikia kwa sababu ya dhambi zako; umenichosha kwa makosa yako.+