Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 95:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Kwa miaka 40 nilichukizwa na kizazi hicho,+

      Nami nikasema:

      “Wao ni kikundi cha watu waliopotoka moyoni,+

      Nao wenyewe hawajapata kuzijua njia zangu”;+

  • Isaya 1:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Nafsi yangu imechukia miezi yenu mipya na majira yenu ya sherehe.+ Zimekuwa mzigo kwangu;+ nimechoka kuzibeba.+

  • Malaki 2:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 “Hili nalo ndilo jambo la pili ambalo ninyi hufanya, na matokeo yake ni madhabahu ya Yehova kufunikwa kwa machozi, kwa kulia na kuugua, hivi kwamba hakuna tena kugeukia toleo la zawadi wala kufurahia kitu chochote kutoka mkononi mwenu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki