Methali 7:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Nimetia kitanda changu manemane, udi na mdalasini.+ Ufunuo 18:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 pia mdalasini na kiungo cha Kihindi na uvumba na mafuta yenye marashi na ubani na divai na mafuta ya zeituni na unga laini na ngano na ng’ombe na kondoo, na farasi na magari na watumwa na nafsi za binadamu.+
13 pia mdalasini na kiungo cha Kihindi na uvumba na mafuta yenye marashi na ubani na divai na mafuta ya zeituni na unga laini na ngano na ng’ombe na kondoo, na farasi na magari na watumwa na nafsi za binadamu.+