Wimbo wa Sulemani 4:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 nardo+ na zafarani,+ kane+ na mdalasini,+ pamoja na namna zote za miti ya ubani, manemane na udi,+ pamoja na manukato yote yaliyo bora zaidi;+ Yeremia 6:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 “Ina faida gani kwangu kwamba mnaleta ubani kutoka Sheba+ na kane nzuri kutoka katika nchi ya mbali? Matoleo yenu mazima ya kuteketezwa hayaleti furaha,+ na dhabihu zenu hazikunipendeza mimi.”+
14 nardo+ na zafarani,+ kane+ na mdalasini,+ pamoja na namna zote za miti ya ubani, manemane na udi,+ pamoja na manukato yote yaliyo bora zaidi;+
20 “Ina faida gani kwangu kwamba mnaleta ubani kutoka Sheba+ na kane nzuri kutoka katika nchi ya mbali? Matoleo yenu mazima ya kuteketezwa hayaleti furaha,+ na dhabihu zenu hazikunipendeza mimi.”+