Hesabu 24:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Yameenea mbali kama mabonde ya mto,+Kama bustani kando ya mto.+Kama mimea ya udi ambayo Yehova amepanda,Kama mierezi kando ya maji.+ Zaburi 45:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Mavazi yako yote ni manemane na udi na kida;+Kutoka katika jumba kuu la mfalme la pembe,+ vinanda vimekufanya ushangilie.
6 Yameenea mbali kama mabonde ya mto,+Kama bustani kando ya mto.+Kama mimea ya udi ambayo Yehova amepanda,Kama mierezi kando ya maji.+
8 Mavazi yako yote ni manemane na udi na kida;+Kutoka katika jumba kuu la mfalme la pembe,+ vinanda vimekufanya ushangilie.