Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 1:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 “Dhabihu zenu nyingi zina faida gani kwangu?” asema Yehova. “Nimetosheka na matoleo mazima ya kuteketezwa+ ya kondoo-dume+ na mafuta ya wanyama waliolishwa vizuri;+ nami sikupendezwa na damu+ ya ng’ombe-dume wachanga na wana-kondoo na mbuzi-dume.+

  • Isaya 66:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 “Yeye anayemchinja ng’ombe ni kama yeye anayemuua mwanadamu.+ Yeye anayemchinja kondoo ni kama yeye anayevunja shingo ya mbwa.+ Yeye anayetoa zawadi ni kama yeye anayetoa damu ya nguruwe!+ Yeye anayetoa ukumbusho wa ubani+ ni kama yeye anayebariki akitumia maneno ya uchawi.+ Wao pia ndio wamechagua njia zao wenyewe, na nafsi yao imependezwa na machukizo yao.+

  • Amosi 5:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Nimechukia, nimezikataa sherehe zenu,+ wala sitafurahia harufu ya makusanyiko yenu makuu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki