34 Naye Yehova akaendelea kumwambia Musa: “Jichukulie manukato:+ matone ya natafi na shekelethi na kelbena iliyotiwa manukato na ubani+ safi. Kutakuwa na kipimo kimoja cha kila moja.
22 Wafanya-biashara wa Sheba+ na Raama+ wenyewe walikuwa wafanya-biashara wako; kwa ajili ya namna zote za manukato yaliyo bora zaidi na kwa ajili ya namna zote za mawe ya thamani na dhahabu, maghala yako yalitolewa.+
14 Lakini Mungu apewe shukrani, ambaye sikuzote hutuongoza+ katika maandamano yenye shangwe ya ushindi kwa kushirikiana+ na Kristo naye huifanya harufu ya ujuzi juu yake yeye ifahamike kupitia sisi kila mahali!+