Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 30:34
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 34 Naye Yehova akaendelea kumwambia Musa: “Jichukulie manukato:+ matone ya natafi na shekelethi na kelbena iliyotiwa manukato na ubani+ safi. Kutakuwa na kipimo kimoja cha kila moja.

  • Ezekieli 27:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Wafanya-biashara wa Sheba+ na Raama+ wenyewe walikuwa wafanya-biashara wako; kwa ajili ya namna zote za manukato yaliyo bora zaidi na kwa ajili ya namna zote za mawe ya thamani na dhahabu, maghala yako yalitolewa.+

  • 2 Wakorintho 2:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Lakini Mungu apewe shukrani, ambaye sikuzote hutuongoza+ katika maandamano yenye shangwe ya ushindi kwa kushirikiana+ na Kristo naye huifanya harufu ya ujuzi juu yake yeye ifahamike kupitia sisi kila mahali!+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki