17 Kwa maana anapaswa kumtambua mwana wa yule anayechukiwa kuwa mzaliwa wa kwanza kwa kumpa sehemu mbili za kila kitu alicho nacho,+ kwa sababu huyo ndiye mwanzo wa nguvu zake za uzazi.+ Haki ya cheo cha mzaliwa wa kwanza ni yake.+
9 Na ikawa kwamba mara walipokuwa wamevuka, Eliya akamwambia Elisha: “Omba lile ninalopaswa kukutendea kabla sijachukuliwa kutoka kwako.”+ Naye Elisha akasema: “Tafadhali, sehemu mbili+ za roho+ yako zije kwangu.”+