Mwanzo 26:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Basi akajenga madhabahu huko, akaliitia jina la Yehova+ na kupiga hema lake huko,+ na watumishi wa Isaka wakachimba kisima huko. Methali 18:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Jina la Yehova ni mnara wenye nguvu.+ Mwadilifu hukimbilia humo na kupewa ulinzi.+ Waroma 10:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Kwa maana “kila mtu anayeliitia jina la Yehova ataokolewa.”+
25 Basi akajenga madhabahu huko, akaliitia jina la Yehova+ na kupiga hema lake huko,+ na watumishi wa Isaka wakachimba kisima huko.