27 Na wale wavulana wakawa wakubwa, naye Esau akawa mwanamume anayejua jinsi ya kuwinda,+ mwanamume wa mbugani, bali Yakobo akawa mwanamume asiye na lawama,+ akikaa katika mahema.+
15 Kisha Rebeka akachukua mavazi ya Esau mwana wake mkubwa,+ yale yenye kupendeza zaidi ambayo alikuwa nayo nyumbani,+ akamvika Yakobo mwana wake mdogo.+
11 Midomo yako inadondosha asali ya sega,+ ewe bibi-arusi wangu. Asali+ na maziwa viko chini ya ulimi wako, na harufu nzuri ya mavazi yako ni kama harufu nzuri+ ya Lebanoni.