44 Nanyi mtalazimika kujua kwamba mimi ni Yehova+ nitakapochukua hatua kuhusiana nanyi kwa ajili ya jina langu,+ si kulingana na njia zenu mbaya au kulingana na matendo yenu yenye uharibifu,+ Ee nyumba ya Israeli,’ asema Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova.”