44 Ndipo mtakapolazimika kujua kwamba mimi ni Yehova nitakaposhughulika nanyi kwa ajili ya jina langu,+ si kulingana na mwenendo wenu mwovu au kulingana na matendo yenu yaliyopotoka, enyi watu wa nyumba ya Israeli,’ asema Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova.”