11 Sauti za wenye kugawa maji katika mahali pa kuteka maji,+
Hapo walianza kusimulia matendo ya uadilifu ya Yehova,+
Matendo ya uadilifu ya wakaaji wake katika nchi iliyo wazi katika Israeli.
Ndipo watu wa Yehova walipoondoka na kwenda mpaka malangoni.