Hesabu 16:30 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 Lakini Yehova akiwatendea jambo lisilo la kawaida, ardhi ifunguke* na kuwameza watu hawa pamoja na vitu vyao vyote, nao waingie Kaburini* wakiwa hai, mtajua kwa hakika kwamba wamemdharau Yehova.”
30 Lakini Yehova akiwatendea jambo lisilo la kawaida, ardhi ifunguke* na kuwameza watu hawa pamoja na vitu vyao vyote, nao waingie Kaburini* wakiwa hai, mtajua kwa hakika kwamba wamemdharau Yehova.”