Zaburi 55:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Ukiwa na uwe juu yao!+Na washuke katika Kaburi* wakiwa hai;+Kwa maana wakati wao wa kukaa ugenini mambo mabaya yamekuwa ndani yao.+ Methali 1:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Na tuwameze wakiwa hai+ kama Kaburi,*+ naam, wakiwa wazima, kama wale wanaoshuka shimoni.+
15 Ukiwa na uwe juu yao!+Na washuke katika Kaburi* wakiwa hai;+Kwa maana wakati wao wa kukaa ugenini mambo mabaya yamekuwa ndani yao.+