Zaburi 9:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Ewe adui, ukiwa wako umefikia mwisho wake wa kudumu,+Na majiji ambayo umeyang’oa.+Kumbukumbu lao hakika litaangamia.+ Zaburi 59:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Uwakomeshe kwa hasira;+Uwakomeshe ili wasiwepo;Na wajue kwamba Mungu anatawala katika Yakobo mpaka kwenye miisho ya dunia.+ Sela. Zaburi 69:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Kambi yao iliyozungushiwa ukuta na iwe ukiwa;+Na kusiwe na mkaaji katika mahema yao.+ Zaburi 109:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Na wawe mbele za Yehova daima;+Naye akatilie mbali kumbukumbu lao kutoka duniani;+
6 Ewe adui, ukiwa wako umefikia mwisho wake wa kudumu,+Na majiji ambayo umeyang’oa.+Kumbukumbu lao hakika litaangamia.+
13 Uwakomeshe kwa hasira;+Uwakomeshe ili wasiwepo;Na wajue kwamba Mungu anatawala katika Yakobo mpaka kwenye miisho ya dunia.+ Sela.