Zaburi 40:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Na waone aibu na kufedheheka wote pamoja+Wale wanaoitafuta nafsi yangu wapate kuifagilia mbali.+Wale wanaopendezwa na msiba wangu na wageuke na kufedheheshwa.+ Zaburi 70:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Wale wanaoitafuta nafsi yangu na waone aibu na kufedheheka.+Wale wanaofurahia msiba wangu na wageuke na kufedheheshwa.+ Yeremia 17:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Wale wanaonitesa na wapatwe na aibu,+ lakini mimi binafsi nisipate aibu.+ Waache wao waingiwe na hofu, lakini mimi binafsi nisiingiwe na hofu. Leta juu yao ile siku ya msiba,+ na kuwavunja kwa mvunjiko mara mbili.+
14 Na waone aibu na kufedheheka wote pamoja+Wale wanaoitafuta nafsi yangu wapate kuifagilia mbali.+Wale wanaopendezwa na msiba wangu na wageuke na kufedheheshwa.+
2 Wale wanaoitafuta nafsi yangu na waone aibu na kufedheheka.+Wale wanaofurahia msiba wangu na wageuke na kufedheheshwa.+
18 Wale wanaonitesa na wapatwe na aibu,+ lakini mimi binafsi nisipate aibu.+ Waache wao waingiwe na hofu, lakini mimi binafsi nisiingiwe na hofu. Leta juu yao ile siku ya msiba,+ na kuwavunja kwa mvunjiko mara mbili.+