Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 31:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Ee Yehova, nisiaibike, kwa maana nimekuita wewe.+

      Waovu na waaibike;+

      Na wakae kimya katika Kaburi.*+

  • Zaburi 35:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  4 Wale wanaoiwinda nafsi yangu na waone aibu na kufedheheka.+

      Wale wanaonipangia hila nipatwe na msiba na warudishwe nyuma na kufedheheka.+

  • Zaburi 70:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  2 Wale wanaoitafuta nafsi yangu na waone aibu na kufedheheka.+

      Wale wanaofurahia msiba wangu na wageuke na kufedheheshwa.+

  • Zaburi 71:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Hao na waaibike, hao na wafikie mwisho wao, wanaoshindana na nafsi yangu.+

      Hao na wajifunike kwa shutuma na fedheha wanaonitafutia msiba.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki