Zaburi 31:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Ee Yehova, nisiaibike, kwa maana nimekuita wewe.+Waovu na waaibike;+Na wakae kimya katika Kaburi.*+ Zaburi 35:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Wale wanaoiwinda nafsi yangu na waone aibu na kufedheheka.+Wale wanaonipangia hila nipatwe na msiba na warudishwe nyuma na kufedheheka.+ Zaburi 70:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Wale wanaoitafuta nafsi yangu na waone aibu na kufedheheka.+Wale wanaofurahia msiba wangu na wageuke na kufedheheshwa.+ Zaburi 71:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Hao na waaibike, hao na wafikie mwisho wao, wanaoshindana na nafsi yangu.+Hao na wajifunike kwa shutuma na fedheha wanaonitafutia msiba.+
17 Ee Yehova, nisiaibike, kwa maana nimekuita wewe.+Waovu na waaibike;+Na wakae kimya katika Kaburi.*+
4 Wale wanaoiwinda nafsi yangu na waone aibu na kufedheheka.+Wale wanaonipangia hila nipatwe na msiba na warudishwe nyuma na kufedheheka.+
2 Wale wanaoitafuta nafsi yangu na waone aibu na kufedheheka.+Wale wanaofurahia msiba wangu na wageuke na kufedheheshwa.+
13 Hao na waaibike, hao na wafikie mwisho wao, wanaoshindana na nafsi yangu.+Hao na wajifunike kwa shutuma na fedheha wanaonitafutia msiba.+