Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 11:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Na hakika hawa watumishi wako wote watanijia na kusujudu mbele yangu,+ na kusema, ‘Nenda, wewe na watu wote wanaofuata hatua zako.’ Na baada ya hapo mimi nitaondoka.” Kisha akaondoka mbele ya Farao akiwaka hasira.

  • 1 Mambo ya Nyakati 12:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Na palikuwa na baadhi ya Wagadi waliojitenga kuwa upande wa Daudi katika mahali palipo pagumu kufikiwa nyikani,+ mashujaa, wanaume wenye nguvu, wanaume wa jeshi kwa ajili ya vita, wenye ngao kubwa na mkuki tayari,+ ambao nyuso zao zilikuwa nyuso za simba,+ nao walikuwa na mwendo kama swala juu ya milima.+

  • Danieli 3:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Shadraki, Meshaki na Abednego wakajibu, nao wakamwambia mfalme: “Ee Nebukadneza, si lazima tukujibu neno lolote kuhusu jambo hili.+

  • Matendo 4:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Sasa walipoona maneno ya waziwazi ya Petro na Yohana, na kufahamu kwamba walikuwa watu wasio na elimu na wa kawaida tu,+ wakaanza kustaajabu. Nao wakaanza kutambua juu yao kwamba walikuwa pamoja na Yesu;+

  • Matendo 14:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Kwa hiyo wakatumia muda mrefu wakisema kwa ujasiri kwa mamlaka ya Yehova, aliyetoa ushahidi kuhusu neno la fadhili zake zisizostahiliwa kwa kuruhusu ishara na mambo ya ajabu kutukia kupitia kwa mikono yao.+

  • 1 Wathesalonike 2:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 bali jinsi, baada ya sisi kuwa tumeteseka+ kwanza na kutendewa kwa dharau+ (kama mnavyojua) katika Filipi,+ tulijipa ujasiri kwa njia ya Mungu wetu ili kuwaambia+ ninyi habari njema ya Mungu kwa kupambana sana.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki