Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Samweli 23:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Na Daudi akaanza kukaa nyikani, katika mahali palipo pagumu kufikiwa, naye akaendelea kukaa katika eneo lenye milima katika nyika ya Zifu.+ Na Sauli akaendelea kumtafuta sikuzote,+ naye Mungu hakumtia mkononi mwake.+

  • 1 Samweli 23:29
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 29 Ndipo Daudi akapanda kutoka huko, akaenda kukaa katika mahali palipo pagumu kufikiwa kule En-gedi.+

  • 1 Samweli 24:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Kwa hiyo Daudi akamwapia Sauli, kisha Sauli akaenda nyumbani kwake.+ Naye Daudi na watu wake wakapanda, wakaenda mahali palipo pagumu kufikiwa.+

  • 1 Mambo ya Nyakati 11:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Na wakati huo Daudi alikuwa katika mahali palipo pagumu kufikiwa;+ na wakati huo kambi ya kijeshi ya Wafilisti+ ilikuwa katika Bethlehemu.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki