1 Samweli 23:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Ndipo Daudi akapanda kutoka huko, akaenda kukaa katika mahali palipo pagumu kufikiwa kule En-gedi.+ Methali 14:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Mtu asiye na uzoefu huamini kila neno,+ lakini mtu mwerevu huzifikiria hatua zake.+ Mathayo 10:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 “Tazama! Mimi ninawatuma ninyi kama kondoo katikati ya mbwa-mwitu;+ kwa hiyo jionyesheni wenyewe kuwa wenye kujihadhari kama nyoka+ na hata hivyo wasio na hatia kama njiwa.+
29 Ndipo Daudi akapanda kutoka huko, akaenda kukaa katika mahali palipo pagumu kufikiwa kule En-gedi.+
16 “Tazama! Mimi ninawatuma ninyi kama kondoo katikati ya mbwa-mwitu;+ kwa hiyo jionyesheni wenyewe kuwa wenye kujihadhari kama nyoka+ na hata hivyo wasio na hatia kama njiwa.+