Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yoshua 15:62
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 62 na Nibshani na Jiji la Chumvi na En-gedi;+ majiji sita na makao yake.

  • 2 Mambo ya Nyakati 20:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Basi watu wakaja na kumwambia Yehoshafati, wakisema: “Umati mkubwa umekuja kukushambulia kutoka katika eneo la bahari, kutoka Edomu;+ na, tazama, wako huko Hasason-tamari, yaani, En-gedi.”+

  • Wimbo wa Sulemani 1:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Kama kishada cha hina+ ndivyo alivyo mpenzi wangu kwangu, kati ya mashamba ya mizabibu ya En-gedi.”+

  • Ezekieli 47:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 “Na itatukia kwamba wavuvi watasimama kando yake kutoka En-gedi+ mpaka En-eglaimu. Kutakuwa na uwanja wa kukaushia nyavu za kukokota. Kulingana na aina zake, samaki wao watakuwa wengi sana, kama samaki wa ile Bahari Kuu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki