2 Basi watu wakaja na kumwambia Yehoshafati, wakisema: “Umati mkubwa umekuja kukushambulia kutoka katika eneo la bahari, kutoka Edomu;+ na, tazama, wako huko Hasason-tamari, yaani, En-gedi.”+
10 “Na itatukia kwamba wavuvi watasimama kando yake kutoka En-gedi+ mpaka En-eglaimu. Kutakuwa na uwanja wa kukaushia nyavu za kukokota. Kulingana na aina zake, samaki wao watakuwa wengi sana, kama samaki wa ile Bahari Kuu.+