4 Oneni, niliwagawia kwa kura+ mataifa haya yanayobaki yawe urithi kwa ajili ya makabila yenu, na mataifa yote ambayo nilikatilia mbali,+ kuanzia Yordani mpaka Bahari Kuu upande wa magharibi.+
28 Na kando ya mpaka wa Gadi, hadi mpaka wa kusini, litakuwa kuelekea kusini; nao mpaka utakuwa kutoka Tamari+ hadi maji ya Meribath-kadeshi,+ hadi kwenye bonde la mto,+ hadi kwenye ile Bahari Kuu.+