Hesabu 26:55 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 55 Nchi itagawanywa kwa kura+ tu. Kulingana na majina ya makabila ya baba zao watapata urithi. Yoshua 18:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 ndipo Yoshua akapiga kura kwa ajili yao katika Shilo mbele za Yehova.+ Basi Yoshua akawagawanyia wana wa Israeli nchi katika mafungu yao.+
10 ndipo Yoshua akapiga kura kwa ajili yao katika Shilo mbele za Yehova.+ Basi Yoshua akawagawanyia wana wa Israeli nchi katika mafungu yao.+