1 Samweli 23:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Ndipo Daudi akapanda kutoka huko, akaenda kukaa katika mahali palipo pagumu kufikiwa kule En-gedi.+ 2 Mambo ya Nyakati 20:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Basi watu wakaja na kumwambia Yehoshafati, wakisema: “Umati mkubwa umekuja kukushambulia kutoka katika eneo la bahari, kutoka Edomu;+ na, tazama, wako huko Hasason-tamari, yaani, En-gedi.”+
29 Ndipo Daudi akapanda kutoka huko, akaenda kukaa katika mahali palipo pagumu kufikiwa kule En-gedi.+
2 Basi watu wakaja na kumwambia Yehoshafati, wakisema: “Umati mkubwa umekuja kukushambulia kutoka katika eneo la bahari, kutoka Edomu;+ na, tazama, wako huko Hasason-tamari, yaani, En-gedi.”+