12 Zaidi ya hayo, kupitia mikono ya mitume ishara nyingi na mambo ya ajabu yakaendelea kutukia kati ya watu;+ nao wote walikuwa kwa umoja katika eneo lenye mistari ya nguzo za Sulemani.+
4 huku Mungu akijiunga katika kutoa ushahidi kwa ishara na vilevile mambo ya ajabu na matendo mbalimbali yenye nguvu+ na kwa ugawaji+ wa roho takatifu kulingana na mapenzi yake?+