Yohana 10:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 na Yesu alikuwa akitembea hekaluni katika eneo lenye mistari ya nguzo za Sulemani.+ Matendo 3:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Basi, kwa kuwa mtu huyo alikuwa akiwashikilia Petro na Yohana, watu wote waliwakimbilia pamoja kwenye eneo lililoitwa mistari ya nguzo za Sulemani,+ wakiwa wamepotewa na akili kwa sababu ya mshangao.
11 Basi, kwa kuwa mtu huyo alikuwa akiwashikilia Petro na Yohana, watu wote waliwakimbilia pamoja kwenye eneo lililoitwa mistari ya nguzo za Sulemani,+ wakiwa wamepotewa na akili kwa sababu ya mshangao.