11 Basi, kwa kuwa mtu huyo alikuwa akiwashikilia Petro na Yohana, watu wote waliwakimbilia pamoja kwenye eneo lililoitwa mistari ya nguzo za Sulemani,+ wakiwa wamepotewa na akili kwa sababu ya mshangao.
12 Zaidi ya hayo, kupitia mikono ya mitume ishara nyingi na mambo ya ajabu yakaendelea kutukia kati ya watu;+ nao wote walikuwa kwa umoja katika eneo lenye mistari ya nguzo za Sulemani.+