3 Kwa hiyo wakatumia muda mrefu wakisema kwa ujasiri kwa mamlaka ya Yehova, aliyetoa ushahidi kuhusu neno la fadhili zake zisizostahiliwa kwa kuruhusu ishara na mambo ya ajabu kutukia kupitia kwa mikono yao.+
12 Ndipo umati mzima ukanyamaza, nao wakaanza kuwasikiliza Barnaba na Paulo wakieleza ishara nyingi na mambo mengi ya ajabu ambayo Mungu alifanya kupitia kwao katikati ya mataifa.+
19 kwa nguvu za ishara na mambo ya ajabu,+ kwa nguvu za roho takatifu; hivi kwamba kutoka Yerusalemu na kuzunguka+ mpaka Ilirikamu nimehubiri kikamili habari njema juu ya Kristo.+