Yohana 10:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 na Yesu alikuwa akitembea hekaluni katika eneo lenye mistari ya nguzo za Sulemani.+ Matendo 5:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Zaidi ya hayo, kupitia mikono ya mitume ishara nyingi na mambo ya ajabu yakaendelea kutukia kati ya watu;+ nao wote walikuwa kwa umoja katika eneo lenye mistari ya nguzo za Sulemani.+
12 Zaidi ya hayo, kupitia mikono ya mitume ishara nyingi na mambo ya ajabu yakaendelea kutukia kati ya watu;+ nao wote walikuwa kwa umoja katika eneo lenye mistari ya nguzo za Sulemani.+