Mambo ya Walawi 26:36 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 36 “‘Nitajaza hisia ya kukata tamaa mioyoni mwa wale watakaobaki+ katika nchi za maadui wao; na sauti ya jani linalopeperushwa na upepo itawafanya wakimbie, nao watakimbia kama mtu anayeukimbia upanga na kuanguka bila kukimbizwa na yeyote.+
36 “‘Nitajaza hisia ya kukata tamaa mioyoni mwa wale watakaobaki+ katika nchi za maadui wao; na sauti ya jani linalopeperushwa na upepo itawafanya wakimbie, nao watakimbia kama mtu anayeukimbia upanga na kuanguka bila kukimbizwa na yeyote.+