Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ayubu 23:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Naye ana akili moja, na ni nani anayeweza kumpinga?+

      Na nafsi yake mwenyewe ina tamaa, naye ataifanya.+

  • Isaya 14:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Yehova wa majeshi ameapa,+ akisema: “Hakika kama vile nilivyoazimia, ndivyo itakavyokuwa, na kama vile nilivyotoa shauri, hivyo ndivyo itakavyotimia,+

  • Yeremia 4:28
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 28 Kwa sababu nchi hiyo itaomboleza,+ na mbingu juu hakika zitakuwa na giza.+ Ni kwa sababu nimesema, nimefikiria, wala sikujuta, wala sitarudi nyuma kutoka katika jambo hilo.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki