Hesabu 23:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Mungu si mwanadamu kwamba aseme uwongo,+Wala si mwana wa binadamu kwamba ajute.+Je, yeye mwenyewe amelisema naye hatalitenda,Na je, yeye amesema naye hatalitimiza?+ Hesabu 23:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Tazama! nimechukuliwa nibariki,Na Yeye amebariki,+ wala sitaigeuza.+ Waroma 9:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Kwa hiyo utaniambia: “Kwa nini bado analaumu? Kwa maana ni nani ambaye amepinga mapenzi yake yaliyo wazi?”+
19 Mungu si mwanadamu kwamba aseme uwongo,+Wala si mwana wa binadamu kwamba ajute.+Je, yeye mwenyewe amelisema naye hatalitenda,Na je, yeye amesema naye hatalitimiza?+
19 Kwa hiyo utaniambia: “Kwa nini bado analaumu? Kwa maana ni nani ambaye amepinga mapenzi yake yaliyo wazi?”+