Mwanzo 12:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 nami nitafanya taifa kubwa kutokana nawe, nitakubariki na kulifanya jina lako kuwa kuu; nawe uwe baraka.+ Mwanzo 22:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 hakika nitakubariki nami nitauzidisha uzao wako kama nyota za mbinguni na kama chembe za mchanga zilizo kando ya bahari;+ na uzao wako utamiliki lango la adui zake.+ Hesabu 22:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Lakini Mungu akamwambia Balaamu: “Usiende pamoja nao. Usiwalaani watu hao,+ kwa maana wamebarikiwa.”+
2 nami nitafanya taifa kubwa kutokana nawe, nitakubariki na kulifanya jina lako kuwa kuu; nawe uwe baraka.+
17 hakika nitakubariki nami nitauzidisha uzao wako kama nyota za mbinguni na kama chembe za mchanga zilizo kando ya bahari;+ na uzao wako utamiliki lango la adui zake.+
12 Lakini Mungu akamwambia Balaamu: “Usiende pamoja nao. Usiwalaani watu hao,+ kwa maana wamebarikiwa.”+