Ezekieli 29:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 “Siku hiyo nitaichipusha pembe kwa ajili ya watu wa nyumba ya Israeli,*+ nami nitakupa* nafasi ya kuzungumza kati yao; nao watalazimika kujua kwamba mimi ni Yehova.”
21 “Siku hiyo nitaichipusha pembe kwa ajili ya watu wa nyumba ya Israeli,*+ nami nitakupa* nafasi ya kuzungumza kati yao; nao watalazimika kujua kwamba mimi ni Yehova.”