Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yoshua 15:33
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 33 Katika Shefela+ kulikuwa na Eshtaoli+ na Sora+ na Ashna,

  • Yoshua 19:41
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 41 Na mpaka wa urithi wao ukawa ni Sora+ na Eshtaoli na Ir-shemeshi,

  • Waamuzi 13:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 Baada ya muda roho ya Yehova+ ikaanza kumchochea katika Mahane-dani+ kati ya Sora+ na Eshtaoli.+

  • Waamuzi 16:31
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 31 Baadaye ndugu zake na nyumba yote ya baba yake wakashuka, wakamwinua, wakamleta na kumzika kati ya Sora+ na Eshtaoli+ katika kaburi la Manoa+ baba yake. Naye alikuwa amehukumu Israeli kwa miaka 20.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki