Yoshua 15:33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 Katika Shefela+ kulikuwa na Eshtaoli+ na Sora+ na Ashna, Yoshua 19:41 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 41 Na mpaka wa urithi wao ukawa ni Sora+ na Eshtaoli na Ir-shemeshi, Waamuzi 13:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Baada ya muda roho ya Yehova+ ikaanza kumchochea katika Mahane-dani+ kati ya Sora+ na Eshtaoli.+ Waamuzi 16:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 Baadaye ndugu zake na nyumba yote ya baba yake wakashuka, wakamwinua, wakamleta na kumzika kati ya Sora+ na Eshtaoli+ katika kaburi la Manoa+ baba yake. Naye alikuwa amehukumu Israeli kwa miaka 20.+
31 Baadaye ndugu zake na nyumba yote ya baba yake wakashuka, wakamwinua, wakamleta na kumzika kati ya Sora+ na Eshtaoli+ katika kaburi la Manoa+ baba yake. Naye alikuwa amehukumu Israeli kwa miaka 20.+