Yoshua 15:33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 Katika Shefela+ kulikuwa na Eshtaoli+ na Sora+ na Ashna, Waamuzi 13:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Wakati huo palikuwa na mtu mmoja wa Sora+ wa familia ya Wadani,+ na jina lake lilikuwa Manoa.+ Na mke wake alikuwa tasa naye hakuwa amezaa mtoto yeyote.+ 2 Mambo ya Nyakati 11:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 na Sora+ na Aiyaloni+ na Hebroni,+ majiji yenye ngome, yaliyokuwa katika Yuda na Benyamini.
2 Wakati huo palikuwa na mtu mmoja wa Sora+ wa familia ya Wadani,+ na jina lake lilikuwa Manoa.+ Na mke wake alikuwa tasa naye hakuwa amezaa mtoto yeyote.+