Mwanzo 49:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 “Dani atawahukumu watu wake akiwa mmoja wa makabila ya Israeli.+ Kumbukumbu la Torati 33:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Naye akamwambia Dani:+“Dani ni mwana-simba.+Ataruka kutoka Bashani.”+ Yoshua 19:40 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 40 Kura+ ya saba ilitokea kwa ajili ya kabila la wana wa Dani+ kulingana na familia zao.