Waamuzi 13:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Wakati huo palikuwa na mtu mmoja wa Sora+ wa familia ya Wadani,+ na jina lake lilikuwa Manoa.+ Na mke wake alikuwa tasa naye hakuwa amezaa mtoto yeyote.+ Waamuzi 13:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Baada ya muda roho ya Yehova+ ikaanza kumchochea katika Mahane-dani+ kati ya Sora+ na Eshtaoli.+
2 Wakati huo palikuwa na mtu mmoja wa Sora+ wa familia ya Wadani,+ na jina lake lilikuwa Manoa.+ Na mke wake alikuwa tasa naye hakuwa amezaa mtoto yeyote.+