Waamuzi 13:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Na Manoa akaanza kumsihi Yehova, akisema: “Nakuomba radhi, Yehova.+ Tafadhali, yule mtu wa Mungu wa kweli ambaye ulimtuma na arudi kwetu tena, atufundishe+ yale tunayopaswa kumtendea huyo mtoto atakayezaliwa.”+
8 Na Manoa akaanza kumsihi Yehova, akisema: “Nakuomba radhi, Yehova.+ Tafadhali, yule mtu wa Mungu wa kweli ambaye ulimtuma na arudi kwetu tena, atufundishe+ yale tunayopaswa kumtendea huyo mtoto atakayezaliwa.”+