10 Ndipo Musa akamwambia Yehova: “Nakuomba radhi, Yehova, lakini mimi si msemaji mzuri, tangu jana wala tangu kabla ya hapo wala tangu uliposema na mtumishi wako, kwa maana kinywa changu ni kizito na ulimi wangu ni mzito.”+
15 Yeye naye akamwambia: “Nakuomba radhi, Yehova. Nitawaokoa Israeli na nini?+ Tazama! Elfu yangu ndiyo ndogo zaidi katika Manase, na mimi ndiye mdogo zaidi katika nyumba ya baba yangu.”+