Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 6:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Hata hivyo, Musa akasema mbele za Yehova, na kumwambia: “Tazama! Wana wa Israeli hawakunisikiliza;+ Farao atawezaje kunisikiliza,+ kwa maana mimi sijatahiriwa midomo?”+

  • Hesabu 12:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Naye mtu huyu Musa alikuwa mpole+ zaidi kuliko watu wote waliokuwa juu ya uso wa nchi.

  • Yeremia 1:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Lakini nikasema: “Ole wangu, Ee Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova! Tazama, mimi hakika sijui jinsi ya kusema,+ kwa sababu mimi ni mvulana tu.”+

  • Matendo 7:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Kwa sababu hiyo Musa akafundishwa hekima+ yote ya Wamisri. Kwa kweli, yeye alikuwa mwenye nguvu katika maneno+ na matendo.

  • 2 Wakorintho 11:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Lakini hata kama sina ustadi wa kusema,+ hakika sivyo nilivyo katika ujuzi;+ lakini katika kila njia tuliwafunulia ninyi hilo katika mambo yote.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki