Kutoka 6:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Hata hivyo, Musa akasema mbele za Yehova, na kumwambia: “Tazama! Wana wa Israeli hawakunisikiliza;+ Farao atawezaje kunisikiliza,+ kwa maana mimi sijatahiriwa midomo?”+ Hesabu 12:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Naye mtu huyu Musa alikuwa mpole+ zaidi kuliko watu wote waliokuwa juu ya uso wa nchi. Yeremia 1:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Lakini nikasema: “Ole wangu, Ee Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova! Tazama, mimi hakika sijui jinsi ya kusema,+ kwa sababu mimi ni mvulana tu.”+ Matendo 7:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Kwa sababu hiyo Musa akafundishwa hekima+ yote ya Wamisri. Kwa kweli, yeye alikuwa mwenye nguvu katika maneno+ na matendo. 2 Wakorintho 11:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Lakini hata kama sina ustadi wa kusema,+ hakika sivyo nilivyo katika ujuzi;+ lakini katika kila njia tuliwafunulia ninyi hilo katika mambo yote.+
12 Hata hivyo, Musa akasema mbele za Yehova, na kumwambia: “Tazama! Wana wa Israeli hawakunisikiliza;+ Farao atawezaje kunisikiliza,+ kwa maana mimi sijatahiriwa midomo?”+
6 Lakini nikasema: “Ole wangu, Ee Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova! Tazama, mimi hakika sijui jinsi ya kusema,+ kwa sababu mimi ni mvulana tu.”+
22 Kwa sababu hiyo Musa akafundishwa hekima+ yote ya Wamisri. Kwa kweli, yeye alikuwa mwenye nguvu katika maneno+ na matendo.
6 Lakini hata kama sina ustadi wa kusema,+ hakika sivyo nilivyo katika ujuzi;+ lakini katika kila njia tuliwafunulia ninyi hilo katika mambo yote.+